< Zaburi 34 >
1 Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
われつねにヱホバを祝ひまつらんその頌詞はわが口にたえじ
2 Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
わがたましひはヱホバによりて誇らん 謙だるものは之をききてよろこばん
3 Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
われとともにヱホバを崇めよ われらともにその名をあげたたへん
4 Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
われヱホバを尋ねたればヱホバわれにこたへ我をもろもろの畏懼よりたすけいだしたまへり
5 Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
かれらヱホバを仰ぎのぞみて光をかうぶれり かれらの面ははぢあからむことなし
6 Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
この苦しむもの叫びたればヱホバこれをきき そのすべての患難よりすくひいだしたまへり
7 Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
ヱホバの使者はヱホバをおそるる者のまはりに營をつらねてこれを援く
8 Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
なんぢらヱホバの恩惠ふかきを嘗ひしれ ヱホバによりたのむ者はさいはひなり
9 Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
ヱホバの聖徒よヱホバを畏れよヱホバをおそるるものには乏しきことなければなり
10 Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
わかき獅はともしくして饑ることあり されどヱホバをたづぬるものは嘉物にかくることあらじ
11 Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
子よきたりて我にきけ われヱホバを畏るべきことを汝等にをしへん
12 Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
福祉をみんがために生命をしたひ存へんことをこのむ者はたれぞや
13 Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
なんぢの舌をおさへて惡につかしめず なんぢの口唇をおさへて虚偽をいはざらしめよ
14 Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
惡をはなれて善をおこなひ和睦をもとめて切にこのことを勉めよ
15 Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
ヱホバの目はただしきものをかへりみ その耳はかれらの號呼にかたぶく
16 Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
ヱホバの聖顔はあくをなす者にむかひてその跡を地より斷滅したまふ
17 Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
義者さけびたればヱホバ之をききてそのすべての患難よりたすけいだしたまへり
18 Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
ヱホバは心のいたみかなしめる者にちかく在してたましひの悔頽れたるものをすくひたまふ
19 Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
ただしきものは患難おほし されどヱホバはみなその中よりたすけいだしたまふ
20 Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
ヱホバはかれがすべての骨をまもりたまふ その一つだに折らるることなし
21 Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
惡はあしきものをころさん 義人をにくむものは刑なはるべし
22 Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.
ヱホバはその僕等のたましひを贖ひたまふ ヱホバに依賴むものは一人だにつみなはるることなからん