< Zaburi 34 >

1 Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
I will always thank Yahweh; I will constantly praise him [MTY].
2 Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
I will boast about what Yahweh [has done]. All those who are oppressed/discouraged should hear me and rejoice.
3 Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
Join with me in telling others that Yahweh is great! You and I should together proclaim how glorious he is!
4 Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
I prayed to Yahweh, and he (answered my prayer/did what I asked him to do); he rescued me from [all those who caused me] to be afraid.
5 Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
Those who trust [IDM] that he [will help them] will be joyful; (they will never be disappointed/he will always do for them the things that he promises) [LIT].
6 Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
I was miserable/helpless, but I called out to Yahweh, and he heard me. He rescued me from all my troubles.
7 Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
An angel from Yahweh guards those who revere him, and the angel rescues them.
8 Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
Find out for yourself, and you will experience that Yahweh is good to you! He is very pleased with those who ask him to protect them.
9 Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
All you who belong to him, revere him! Those who do that will always have the things that they need [LIT].
10 Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
Lions [are usually] very strong, [but sometimes] even young lions are hungry and become weak, but those who trust in Yahweh will (have everything/not lack any good thing) [LIT] [that they need].
11 Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
You (who are my students/whom I teach), come and listen to me, and I will teach you how to revere Yahweh.
12 Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
If [RHQ] any of you wants to enjoy life and have a good long life,
13 Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
do not say anything that is evil! Do not tell lies!
14 Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
Turn away from doing evil, and do what is good! Always try hard to enable people to live peacefully [with each other.]
15 Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
Yahweh [MTY] carefully watches over those who [act] righteously; he always responds [MTY] to them when they call [to him for help].
16 Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
But Yahweh [SYN] (is opposed to/turns away from) those who do what is evil. [And after they die], people will forget them completely.
17 Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
Yahweh hears righteous people when they call out to him; he rescues them from all their troubles.
18 Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
Yahweh is always ready to help those who are discouraged; he rescues those who have nothing good to hope for.
19 Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
Righteous people may have many troubles, but Yahweh rescues them from all those troubles.
20 Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
Yahweh protects them from being harmed; [when their enemies attack them], they will not break any bones of those righteous people.
21 Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
Wicked people will be killed by their own evil deeds (OR, by [people doing to them] the same evil things [that the wicked do to others]) [PRS], and Yahweh will punish those who oppose righteous people.
22 Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.
Yahweh will save those who serve him. He will (not condemn/forgive) [LIT] those who trust in him.

< Zaburi 34 >