< Zaburi 31 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. In wewe, Yahwe, nakimbilia usalama; usiniache niaibishwe. Katika haki yako uniokoe.
Veisuunjohtajalle; Daavidin virsi. Herra, sinuun minä turvaan. Älä salli minun ikinä häpeään tulla, vapahda minut vanhurskaudessasi.
2 Unisikie; uniokoe haraka; uwe mwamba wangu wa usalama, ngome ya kuniokoa.
Kallista korvasi minun puoleeni, riennä, pelasta minut. Ole minulle turvakallio, vuorilinna, johon minut pelastat.
3 Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu; kwa hiyo kwa ajili ya jina lako, uniongoze na unielekeze.
Sillä sinä olet minun kallioni ja linnani, ja nimesi tähden sinä minua johdat ja talutat.
4 Unitoe katika mtego ambao wameuficha kwa ajili yangu, kwa kuwa wewe ni usalama wangu.
Sinä päästät minut verkosta, jonka he ovat eteeni virittäneet, sillä sinä olet minun turvani.
5 Mikononi mwako naikabidhi roho yangu; nawe utaniokoa, Yahwe, mwenye kuaminika.
Sinun käteesi minä annan henkeni, sinä, Herra, lunastat minut, sinä uskollinen Jumala.
6 Ninawachukia wale wanaotumikia miungu isiyo na maana, bali ninaamini katika Yahwe.
Minä vihaan niitä, jotka seuraavat turhia epäjumalia, mutta minä turvaan Herraan.
7 Nitafurahi na kushangilia katika uaminifu wa agano lako, kwa kuwa uliyaona mateso yangu; wewe uliijua dhiki ya moyo wangu.
Minä iloitsen ja riemuitsen sinun armostasi, kun sinä katsoit minun kurjuuttani, tunsit minun sieluni ahdistukset,
8 Wewe haujaniweka kwenye mkono wa maadui zangu. Nawe umeiweka miguu yangu mahali pa wazi papana.
etkä jättänyt minua vihollisen valtaan, vaan asetit minun jalkani aukealle.
9 Uniurumie, Yahwe, kwa maana niko katika dhiki; macho yangu yanafifia kwa huzuni pamoja na moyo wangu na mwili wangu.
Armahda minua, Herra, sillä minulla on ahdistus; minun silmäni on surusta riutunut, niin myös minun sieluni ja ruumiini.
10 Kwa kuwa maisha yangu yamechoshwa kwa huzuni na miaka yangu kwa kuugua kwangu. Nimekuwa dhaifu kwa sababu ya dhambi zangu, na mifupa yangu inachakaa.
. Sillä minun elämäni kuluu murheessa ja minun vuoteni huokauksissa. Minun voimani on rauennut pahain tekojeni tähden, ja minun luuni ovat riutuneet.
11 Kwa sababu ya maadui zangu wote, watu wananibeza; majirani zangu wanaishangaa hali yangu, na wale wanao nifahamu wanashtuka. Wale wanionao mitaani hunikimbia.
Kaikkien ahdistajaini tähden minä olen pilkaksi tullut, ylenpalttiseksi pilkaksi naapureilleni, peljätykseksi tuttavilleni; jotka minut kadulla näkevät, pakenevat minua.
12 Nimesahaulika kama mtu aliye kufa ambaye hakuna mtu anaye mfikiria. Niko kama chungu kilicho pasuka.
Minä olen unhottunut ihmisten mielistä niinkuin kuollut, minä olen kuin rikottu astia.
13 Kwa maana nimesikia minong'ono ya wengi, habari za kutisha kutoka pande zote kwa pamoja wamepanga njama kinyume na mimi. Wao wanapanga njama ya kuniua.
Sillä minä kuulen monen parjaukset, kauhua kaikkialta, kun he keskenänsä pitävät neuvoa minua vastaan, aikovat ottaa minulta hengen.
14 Bali mimi ninakuamini wewe, Yahwe; Ninasema, “Wewe ni Mungu wangu.”
Mutta sinuun, Herra, minä turvaan; minä sanon: "Sinä olet minun Jumalani".
15 Hatima yangu iko mikononi mwako. Uniokoe mikononi mwa maadui zangu na wale wanao nifukuzia.
Minun aikani ovat sinun kädessäsi, pelasta minut vihollisteni kädestä ja vainoojistani.
16 Nuru ya uso wako imuangazie mtumishi wako; uniokoe katika uaminifu wa agano lako.
Valista kasvosi palvelijallesi, pelasta minut armossasi.
17 Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol h7585)
Herra, älä salli minun tulla häpeään, sillä sinua minä huudan avukseni. Jumalattomat tulkoot häpeään, vaietkoot ja vaipukoot tuonelaan. (Sheol h7585)
18 Na inyamazishwe midomo midanganyifu ambayo husema maneno mabaya kuhusu watu wenye haki huku wakiwa na kiburi na dharau.
Mykistykööt valheen huulet, jotka puhuvat vanhurskasta vastaan röyhkeästi, ylpeästi ja ylenkatseellisesti.
19 Uzuri wako ni wa namna gani nao umeuhifadhii kwa ajili ya wale wanao kuheshimu sana, ambao wewe huufanya kwa ajili ya wale ambao hukimbilia kwako kwa ajili ya usalama mbele ya watoto wote wa wanadamu!
Kuinka suuri on sinun hyvyytesi, jonka talletat pelkääväisillesi ja jota osoitat sinuun turvaaville ihmislasten edessä!
20 Katika makao ya uwepo wako, wewe huwaficha mbali na njama za watu. Wewe huwaficha mahali salama na ndimi zenye vurugu.
Sinä peität heidät kasvojesi suojaan ihmisten salavehkeiltä; sinä kätket heidät turvaan kielten riidalta.
21 Atukuzwe Yahwe, kwa maana yeye alinionesha maajabu ya uaminifu wa agano lake mahali nilipoishi.
Kiitetty olkoon Herra, sillä hän osoitti minulle ihmeellisen armonsa piiritetyssä kaupungissa.
22 Ingawa kwa haraka zangu nilisema, “Nimeondolewa machoni pako,” bali wewe ulisikia kusihi kwangu nilipokulilia wewe.
Minä sanoin hädässäni: "Minä olen sysätty pois sinun silmiesi edestä". Kuitenkin sinä kuulit minun rukousteni äänen, kun minä sinua huusin.
23 Enyi wafuasi waaminifu, mpendeni Yahwe, Yahwe huwalinda waaminifu, lakini huwalipa wakaidi ipasavyo.
Rakastakaa Herraa, kaikki hänen hurskaansa. Herra varjelee uskolliset, mutta ylpeileväisille hän kostaa monin kerroin.
24 Iweni imara na jasiri, ninyi nyote mnao mwamini Mungu kuwasaidia.
Olkaa lujat, ja olkoon teidän sydämenne rohkea, te kaikki, jotka Herraa odotatte.

< Zaburi 31 >