< Zaburi 31 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. In wewe, Yahwe, nakimbilia usalama; usiniache niaibishwe. Katika haki yako uniokoe.
Zborovođi. Psalam. Davidov. Tebi se, Jahve, utječem, o, da se ne postidim nikada: u svojoj me pravdi izbavi!
2 Unisikie; uniokoe haraka; uwe mwamba wangu wa usalama, ngome ya kuniokoa.
Prikloni k meni uho svoje, pohiti da me oslobodiš! Budi mi hrid zaštite, tvrđava spasenja.
3 Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu; kwa hiyo kwa ajili ya jina lako, uniongoze na unielekeze.
Jer ti si hrid moja, tvđava moja, radi svoga imena vodi me i ravnaj.
4 Unitoe katika mtego ambao wameuficha kwa ajili yangu, kwa kuwa wewe ni usalama wangu.
Izvuci me iz mreže koju mi zapeše, jer ti si moje utočište.
5 Mikononi mwako naikabidhi roho yangu; nawe utaniokoa, Yahwe, mwenye kuaminika.
U tvoje ruke duh svoj predajem: otkupi me, Jahve, Bože vjerni.
6 Ninawachukia wale wanaotumikia miungu isiyo na maana, bali ninaamini katika Yahwe.
Ti mrziš one koji štuju ništavne kumire, a ja se u Jahvu uzdam.
7 Nitafurahi na kushangilia katika uaminifu wa agano lako, kwa kuwa uliyaona mateso yangu; wewe uliijua dhiki ya moyo wangu.
Radosno ću klicat' tvojoj milosti, jer si na moju bijedu pogledao, pomogao u tjeskobi duši mojoj.
8 Wewe haujaniweka kwenye mkono wa maadui zangu. Nawe umeiweka miguu yangu mahali pa wazi papana.
Nisi me predao u ruke dušmana, noge si mi na prostran put izveo.
9 Uniurumie, Yahwe, kwa maana niko katika dhiki; macho yangu yanafifia kwa huzuni pamoja na moyo wangu na mwili wangu.
Smiluj mi se, Jahve, jer sam u tjeskobi, od jada slabi mi oko, duša i tijelo.
10 Kwa kuwa maisha yangu yamechoshwa kwa huzuni na miaka yangu kwa kuugua kwangu. Nimekuwa dhaifu kwa sababu ya dhambi zangu, na mifupa yangu inachakaa.
Život mi se troši u gorčini, ljeta moja u jecanju. U muci mi se iscrpila snaga i kosti su moje klonule.
11 Kwa sababu ya maadui zangu wote, watu wananibeza; majirani zangu wanaishangaa hali yangu, na wale wanao nifahamu wanashtuka. Wale wanionao mitaani hunikimbia.
Dušmanima svojim postao sam ruglo, susjedima podsmijeh, a znancima strašilo; koji me vide vani, bježe od mene.
12 Nimesahaulika kama mtu aliye kufa ambaye hakuna mtu anaye mfikiria. Niko kama chungu kilicho pasuka.
Nestalo me k'o mrtvaca iz sjećanja ljudi, postadoh k'o razbijena posuda.
13 Kwa maana nimesikia minong'ono ya wengi, habari za kutisha kutoka pande zote kwa pamoja wamepanga njama kinyume na mimi. Wao wanapanga njama ya kuniua.
Čujem šaputanje mnogih, užas odasvud: sastaju se protiv mene i smišljaju kako da mi život oduzmu.
14 Bali mimi ninakuamini wewe, Yahwe; Ninasema, “Wewe ni Mungu wangu.”
A ja se, Jahve, u tebe uzdam; govorim: Ti si Bog moj!
15 Hatima yangu iko mikononi mwako. Uniokoe mikononi mwa maadui zangu na wale wanao nifukuzia.
U tvojoj je ruci sudbina moja: istrgni me iz ruke dušmana i onih koji me progone!
16 Nuru ya uso wako imuangazie mtumishi wako; uniokoe katika uaminifu wa agano lako.
Rasvijetli lice nad slugom svojim, po svojoj me dobroti spasi.
17 Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol h7585)
Jahve, ne bilo me stid što tebe zazvah! Neka se postide zlotvori, nek' u Podzemlju zamuknu. (Sheol h7585)
18 Na inyamazishwe midomo midanganyifu ambayo husema maneno mabaya kuhusu watu wenye haki huku wakiwa na kiburi na dharau.
Nek' zanijeme usne lažljive koje protiv pravednika govore drsko, oholo i prezirno.
19 Uzuri wako ni wa namna gani nao umeuhifadhii kwa ajili ya wale wanao kuheshimu sana, ambao wewe huufanya kwa ajili ya wale ambao hukimbilia kwako kwa ajili ya usalama mbele ya watoto wote wa wanadamu!
O, kako je velika, Jahve, tvoja dobrota, koju čuvaš za one koji te se boje, koju iskazuješ onima što se tebi utječu naočigled sinovima čovječjim.
20 Katika makao ya uwepo wako, wewe huwaficha mbali na njama za watu. Wewe huwaficha mahali salama na ndimi zenye vurugu.
Zaklanjaš ih štitom lica svoga od zavjera ljudskih; u šatoru svom ih skrivaš od jezika svadljivih.
21 Atukuzwe Yahwe, kwa maana yeye alinionesha maajabu ya uaminifu wa agano lake mahali nilipoishi.
Blagoslovljen Jahve jer me obasu čudesnom dobrotom u gradu tvrdom.
22 Ingawa kwa haraka zangu nilisema, “Nimeondolewa machoni pako,” bali wewe ulisikia kusihi kwangu nilipokulilia wewe.
U tjeskobi svojoj već mišljah: “Odbačen sam od pogleda tvoga.” Ali ti si čuo glas mog zaziva dok sam tebi vapio.
23 Enyi wafuasi waaminifu, mpendeni Yahwe, Yahwe huwalinda waaminifu, lakini huwalipa wakaidi ipasavyo.
Ljubite Jahvu, svi sveti njegovi: čuva Jahve svoje vjernike, a po zasluzi vraća onima koji postupaju oholo.
24 Iweni imara na jasiri, ninyi nyote mnao mwamini Mungu kuwasaidia.
Budite hrabri i jaka srca, svi koji se u Jahvu uzdate!

< Zaburi 31 >