< Zaburi 30 >
1 Nitakutukuza wewe, Yahwe, kwa kuwa umeniinua na haujawaruhusu maadui zangu juu yangu.
【病後感恩歌】 聖殿祝聖的詩歌,達味作。 上主,我稱揚你,因為你救拔了我,你也沒有使我的仇敵向我自誇。
2 Yahwe Mungu wangu, nilikulilia wewe kwa ajili ya msaada, nawe ukaniponya.
上主,我一向你呼號,我主,你便醫治了我。
3 Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol )
上主,你由陰府中把我救出,又使我安全復生,免降幽谷。 (Sheol )
4 Mwimbieni sifa Yahwe, ninyi waaminifu wake! Mshukuruni Bwana mkumbukapo utakatifu wake.
上主的聖民,請向上主歌頌,稱謝上主的聖名。
5 Kwa kuwa hasira yake ni ya muda tu; bali neema yake yadumu milele. Kilio huja usiku, bali furaha huja asubuhi.
因為上主的忿怒,瞬息消散;上主的恩愛卻要終生綿延。晚間雖令人哭涕,清晨卻使人歡喜。
6 Kwa ujasiri nilisema, “Sitatikiswa kamwe.”
我曾自誇說過,我永不會動搖。
7 Yahwe, kwa neema yako uliniweka mimi kama mlima imara; lakini ulipouficha uso wako, nilisumbuka.
上主,你恩待我,使我立足於穩固山岡;但是你一掩面,我便立刻感到失措驚惶。
8 Nilikulilia wewe, Yahwe, na kuomba msaada kwa Bwana wangu!
上主,我曾向你呼號,我曾向我主哀求說:
9 Kuna faida gani katika kifo changu, kama nitaenda kaburini? Je, mavumbi yatakusifu wewe? Yatatangaza uaminifu wako?
我如果降入陰府,我的血於你何益?灰土豈能讚美你,或宣揚你的忠義?
10 Sikia, Yahwe, na unihurumie! Yahwe, uwe msaidizi wangu.
上主,請俯聽我,憐憫我;上主,求你前來助佑我。
11 Wewe umegeuza kuomboleza kwangu kuwa kucheza; wewe umeyaondoa mavazi yangu ya magunia na kunivisha furaha.
你把我的哀痛,給我變成了舞蹈,脫去了我的苦衣給我披上喜樂;
12 Hivyo sasa utukufu wangu utakuimbia sifa wewe na hautanyamaza; Yahwe Mungu wangu, nitakushukuru wewe milele!
為此,我的心靈歌頌你,永不止息;上主,我的天主,我要永遠稱謝你!