< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Salmo de David, cuando huía de delante de Absalón su hijo. ¡ Oh SEÑOR, cuánto se han multiplicado mis enemigos! Muchos se levantan contra mí.
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Muchos dicen de mi alma: No hay para él salud en Dios. (Selah)
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Mas tú, el SEÑOR, eres escudo por mí; mi gloria, y el que ensalza mi cabeza.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Con mi voz clamé al SEÑOR, y él me respondió desde el monte de su santidad. (Selah)
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Yo me acosté, y dormí, y desperté; porque el SEÑOR me sustentaba.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
No temeré de diez millares de gente, que pusieren cerco contra mí.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Levántate, SEÑOR; sálvame, Dios mío; porque tú heriste a todos mis enemigos en la quijada; los dientes de los malos quebraste.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Del SEÑOR es la salud: Sobre tu pueblo será tu bendición. (Selah)

< Zaburi 3 >