< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
El Salmo de David refiriéndose a la vez que tuvo que huir de su hijo Absalón Señor, mis enemigos se han multiplicado. Hay muchos rebelándose contra mi.
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Muchos me dicen: “Dios no puede salvarte”. (Selah)
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Pero tu, oh Señor, eres un escudo protegiéndome. Tu me das la victoria; y sostienes mi cabeza en alto.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Clamo al Señor pidiendo ayuda, y él me responde desde su monte santo. (Selah)
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Me acuesto a dormir, y en la mañana me levanto porque el Señor cuida de mi.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
No tengo miedo de las decenas de miles que me rodean y que están en mi contra.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
¡Defiéndeme, Señor! ¡Sálvame, mi Dios! ¡Abofetea a todos mis enemigos, y rompe los dientes de los malvados!
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
La salvación te pertenece, Señor. Sé una bendición sobre tu pueblo. (Selah)

< Zaburi 3 >