< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Nzembo ya Davidi. Ayembaki yango tango azalaki kokima Abisalomi, mwana na ye. Oh Yawe, banguna na ngai bazali motango boni! Banguna boni oyo bazali kobundisa ngai!
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Ebele bazali koloba na tina na ngai: « Nzambe akobikisa ye te! »
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Nzokande Yo, Yawe, ozali nguba mpe nkembo na ngai, Yo nde omatisaka lokumu na ngai.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Nabelelaka Yawe, mpe ayanolaka ngai wuta na ngomba na Ye ya bule.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Nalalaka mpe nazwaka pongi; nalamukaka lisusu, pamba te Yawe azali makasi na ngai.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Nakobanga te atako ebele ya bankoto bazingeli ngai na bangambo nyonso.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Yawe, telema! Nzambe na ngai, kangola ngai! Beta banguna na ngai nyonso bambata, buka bato mabe minu.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Kokangolama na ngai ewutaka na Yawe. Tika ete lipamboli na Yo ewumela kati na bato na Yo.

< Zaburi 3 >