< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Salmo di Davide quando fuggiva il figlio Assalonne. Signore, quanti sono i miei oppressori! Molti contro di me insorgono.
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Molti di me vanno dicendo: «Neppure Dio lo salva!».
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Ma tu, Signore, sei mia difesa, tu sei mia gloria e sollevi il mio capo.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Al Signore innalzo la mia voce e mi risponde dal suo monte santo.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Io mi corico e mi addormento, mi sveglio perché il Signore mi sostiene.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Non temo la moltitudine di genti che contro di me si accampano.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Sorgi, Signore, salvami, Dio mio. Hai colpito sulla guancia i miei nemici, hai spezzato i denti ai peccatori.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Del Signore è la salvezza: sul tuo popolo la tua benedizione.

< Zaburi 3 >