< Zaburi 3 >
1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Mazmur Daud, ketika ia lari dari Absalom, anaknya. Ya TUHAN, alangkah banyaknya musuhku, sangat banyak yang menyerang aku!
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Ada banyak yang berkata bahwa Allah tak mau menolong aku.
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Tetapi Engkau, ya TUHAN, adalah perisai yang melindungi aku. Kauberi aku kemenangan, dan Kaubesarkan hatiku.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Aku berseru kepada TUHAN; dari bukit-Nya yang suci Ia menjawab aku.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Aku berbaring dan tidur dengan tentram, dan bangun lagi, sebab TUHAN menopang aku.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Aku tidak takut kepada ribuan lawan yang mengepung aku dari segala jurusan.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Selamatkanlah aku, ya TUHAN Allahku, hukumlah dan lumpuhkanlah semua lawanku.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Dari Engkaulah datang pertolongan, ya TUHAN, sudilah memberkati umat-Mu.