< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Psaume de David, lorsqu'il fuyait de devant son fils Absalom. Seigneur, pourquoi ceux qui m'affligent se sont-ils multipliés? Combien se soulèvent contre moi!
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Combien disent à mon âme qu'il n'est point de salut pour elle! Interlude.
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
Mais toi, Seigneur, tu es mon appui et ma gloire; c'est toi qui relève ma tête.
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
De ma voix, j'ai crié au Seigneur, et il m'a entendu du haut de sa montagne sainte. Interlude.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Et je me suis endormi d'un profond sommeil; je me suis réveillé, car le Seigneur me défendra.
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Je ne craindrai pas la foule du peuple qui m'assiège de tous côtés;
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Lève-toi, Seigneur; sauve-moi, mon Dieu! Car tu as frappé tous ceux qui m'ont poursuivi sans cause, et tu as broyé les dents des pécheurs.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Le salut vient du Seigneur, et ta bénédiction est sur ton peuple.

< Zaburi 3 >