< Zaburi 3 >
1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
Yahweh, I have many enemies [DOU]! There are many people who oppose/rebel against me.
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
Many people are saying about me, “God will [certainly] not help him!”
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
But Yahweh, you are like a shield [that protects me] [MET]. You greatly honor me, and you encourage me (OR, enable me to triumph over my enemies) [IDM].
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
I cry out to you, Yahweh, and you answer me from [Zion], your sacred hill.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
[At night] I lie down and sleep, and I awake [in the morning feeling good/refreshed] because you, Yahweh, (take care of/protect) me [all during the night].
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
There may be thousands of [enemy] soldiers who surround me, but I am not afraid.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Yahweh, arise! My God, [come and] rescue me [again]! You [insult] my enemies by slapping them on their cheeks; [when you strike them], you break their teeth, [with the result that they cannot hurt anyone] [MET].
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Yahweh, you are the one who saves your people [from their enemies]. Yahweh, bless your people!