< Zaburi 3 >

1 Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
En Salme af David, da han flygtede for sin Søn Absalom.
2 Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
HERRE, hvor er mine Fjender mange! Mange er de, som rejser sig mod mig,
3 Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
mange, som siger om min Sjæl: »Der er ingen Frelse for ham hos Gud!« (Sela)
4 Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
Men, HERRE, du er et Skjold for mig, min Ære og den, der løfter mit Hoved.
5 Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
Jeg raaber højlydt til HERREN, han svarer mig fra sit hellige Bjerg. (Sela)
6 Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
Jeg lagde mig og sov ind, jeg vaagned, thi HERREN holder mig oppe.
7 Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
Jeg frygter ikke Titusinder af Folk, som trindt om lejrer sig mod mig.
8 Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.
Rejs dig, HERRE, frels mig, min Gud, thi alle mine Fjender slog du paa Kind, du brød de gudløses Tænder! Hos HERREN er Frelsen; din Velsignelse over dit Folk! (Sela)

< Zaburi 3 >