< Zaburi 29 >

1 Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
Dar al Señor, seres celestiales, dar al Señor gloria y poder.
2 Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
Dar a Jehová toda la gloria de su nombre; darle culto en la hermosura de la santidad.
3 Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
La voz del Señor está sobre las aguas; el Dios de gloria truena; el Señor sobre el mar inmenso.
4 Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
La voz del Señor está llena de poder; la voz del Señor tiene un sonido imponente.
5 Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
Por la voz del Señor están los cedros quebrantados, los cedros del Líbano son quebrantados por el Señor.
6 Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
Los hace saltar como becerros; Al Líbano y al Sirión como hijos de búfalos.
7 Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
A la voz del Señor se ven llamas de fuego.
8 Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
A la voz del Señor se estremece el desierto, y se sacude el desierto de Cades.
9 Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
A la voz del Señor las encinas las desgaja, las hojas son arrancadas de los árboles: en su Templo todos le rinden honor.
10 Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
El Señor tenía su trono como rey cuando las aguas vinieron sobre la tierra; el Señor está sentado como rey para siempre.
11 Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.
El Señor dará fortaleza a su pueblo; el Señor dará a su pueblo la bendición de la paz.

< Zaburi 29 >