< Zaburi 29 >
1 Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
Cantique de David. Fils de Dieu, rendez à l'Éternel, rendez à l'Éternel l'honneur et la gloire!
2 Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
Rendez à l'Éternel l'honneur dû à son nom! Adorez l'Éternel avec une pompe sainte!
3 Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
La voix de l'Éternel retentit sur les eaux, le Dieu glorieux fait gronder le tonnerre; on entend l'Éternel sur les grandes eaux.
4 Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
La voix de l'Éternel est puissante, la voix de l'Éternel est majestueuse;
5 Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
la voix de l'Éternel brise les cèdres, l'Éternel brise les cèdres du Liban,
6 Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
et Il les fait bondir, comme les jeunes taureaux, et le Liban et le Sirion, comme les buffles.
7 Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
La voix de l'Éternel darde des flammes de feu;
8 Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
la voix de l'Éternel ébranle le désert, l'Éternel ébranle le désert de Kadès.
9 Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
La voix de l'Éternel fait avorter les biches, elle dépouille les forêts; et dans Son palais tout s'écrie: Gloire!
10 Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
L'Éternel sur son trône présidait au déluge, et sur son trône l'Éternel régnera à jamais.
11 Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.
L'Éternel donnera la force à son peuple; l'Éternel bénira son peuple de la paix.