< Zaburi 28 >
1 Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
K tebi hočem klicati, oh Gospod, moja skala, ne bodi molčeč do mene, da ne bi, če boš do mene molčeč, postal podoben tem, ki gredo dol v jamo.
2 Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
Prisluhni glasu mojih ponižnih prošenj, ko kličem k tebi, ko svoje roke dvigujem k tvojemu svetemu oraklju.
3 Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
Ne odtegni me proč z zlobnimi in z delavci krivičnosti, ki svojim bližnjim govorijo mir, toda v njihovih srcih je vragolija.
4 Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
Daj jim glede na njihova dejanja in glede na zlobnost njihovih prizadevanj. Daj jim po delu njihovih rok, povrni jim njihovo plačilo.
5 Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
Ker ne upoštevajo Gospodovih del niti delovanja njegovih rok, jih bo uničil in jih ne bo zgradil.
6 Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
Blagoslovljen bodi Gospod, ker je uslišal glas mojih ponižnih prošenj.
7 Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
Gospod je moja moč in moj ščit, moje srce je zaupalo vanj in pomagano mi je. Zato se moje srce silno razveseljuje in s svojo pesmijo ga bom hvalil.
8 Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
Gospod je njihova moč in on je rešilna moč svojemu maziljencu.
9 Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
Reši svoje ljudstvo in blagoslavljaj svojo dediščino, tudi pasi jih in dvigni jih na veke.