< Zaburi 28 >
1 Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
[Salmo] di Davide IO grido a te, Signore; Rocca mia, non tacere, senza rispondermi; Che talora, [se] tu ti taci, Io non sia renduto simile a quelli che scendono nella fossa.
2 Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
Ascolta la voce delle mie supplicazioni, mentre io grido a te, Mentre io levo le mani verso l'oracolo della tua santità.
3 Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
Non istrascinarmi con gli empi, e con gli operatori d'iniquità, I quali parlano di pace co' lor prossimi, Ma hanno della malizia nel cuore.
4 Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
Rendi loro secondo le loro opere, e secondo le malvagità de' lor fatti; Rendi loro secondo le opere delle lor mani; Da' loro la lor retribuzione.
5 Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
Perciocchè non considerano i fatti del Signore, Nè l'opere delle sue mani, Egli li distruggerà, e non li edificherà.
6 Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
Benedetto [sia] il Signore; Perciocchè egli ha udita la voce delle mie supplicazioni.
7 Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
Il Signore [è] la mia forza ed il mio scudo; In lui si è confidato il mio cuore, ed io sono stato soccorso; Onde il mio cuore festeggia Ed io lo celebrerò co' miei cantici.
8 Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
Il Signore [è] la forza del suo popolo, Ed è la fortezza delle salvazioni del suo unto.
9 Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
Salva il tuo popolo, e benedici la tua eredità; E pascili, e innalzali in perpetuo.