< Zaburi 28 >

1 Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
“A psalm of David.” To thee do I cry, O LORD! O my rock! be not silent to me, Lest, if thou answer me not, I become like those who go down to the pit!
2 Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
Hear the voice of my supplication, when I cry unto thee, When I lift up my hands to thy most holy sanctuary!
3 Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
Draw me not away with the impious, and with evil-doers, Who speak peace to their neighbors, while mischief is in their hearts!
4 Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
Give them according to their deeds, and the wickedness of their doings; Give them according to the work of their hands; Render to them their desert!
5 Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
For they regard not the doings of the LORD, nor the work of his hands; Therefore will he destroy them, and not again build them up.
6 Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
Praised be the LORD, for he hath heard the voice of my supplications!
7 Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
The LORD is my strength and my shield; My heart trusteth in him, and he helpeth me; Therefore doth my heart exult, And in my song I will praise him.
8 Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
Jehovah is the strength of his people; He is the protecting shield of his anointed.
9 Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
Save thy people, and bless thine inheritance; Feed them also, and build them up for ever!

< Zaburi 28 >