< Zaburi 28 >

1 Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
A Psalm of David himself. To you, Lord, I will cry out. My God, do not be silent toward me. For if you remain silent toward me, I will become like those who descend into the pit.
2 Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
Hear, O Lord, the voice of my supplication, when I pray to you, when I lift up my hands toward your holy temple.
3 Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
Do not draw me away together with sinners; and let me not perish with those who work iniquity, who speak peacefully to their neighbor, yet evils are in their hearts.
4 Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
Give to them according to their works and according to the wickedness of their inventions. Assign to them according to the works of their hands. Repay them with their own retribution.
5 Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
Since they have not understood the works of the Lord and the works of his hands, you will destroy them, and you will not build them up.
6 Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
Blessed is the Lord, for he has heard the voice of my supplication.
7 Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
The Lord is my helper and my protector. In him, my heart has hoped and I have been helped. And my flesh has flourished again. And from my will, I shall confess to him.
8 Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
The Lord is the strength of his people and the protector of the salvation of his Christ.
9 Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
O Lord, save your people and bless your inheritance, and reign over them and exalt them, even unto eternity.

< Zaburi 28 >