< Zaburi 27 >
1 Yahwe ni nuru yangu na wokovu wangu; nimuogope nani? Yahwe ni salama ya maisha yangu; ni mhofu nani?
Hazavàko naho fandrombahako t’Iehovà, ia ty ihembañako? Fipaliram-piaiko t’Iehovà, ia ty hirevendreveñako?
2 Wakati waovu waliponijia kunila mwili wangu, wapinzani wangu na adui zangu walijikwaa na wakaanguka.
Ie niambotrak’ amako o lo-tserekeo hampibotseke o nofokoo; le nitsikapy vaho nikorovoke o malaiñ’ahio naho o rafelahikoo.
3 Ingawa jeshi hujipanga kupigana na mimi, moyo wangu hautaogopa; japo vita vijapo inuka kupigana nami hata hapo nitabaki kuwa jasiri.
Ndra te hitobe hiatreatre ahy ty firimboñañe, tsy ho vorombeloñe ty troko; ndra te hitroatse amako ty hotakotake, mbe hitam-patokisañe.
4 Kitu kimoja nimekiomba kwa Yahwe, nami nitakitafuta hicho: kwamba niweze kukaa katika nyumba ya Yahwe siku zote za maisha yangu, kuutazama uzuri wa Yahwe na kutafakari hekaruni mwake.
Raha raike ty nihalalieko am’ Iehovà, izay ty ho paiaeko: ty hitobohako añ’anjomba’ Iehovà ao ze hene andro ivelomako, hahatrea ty hasoa-vinta’ Iehovà, vaho hañontàne añ’akiba’e ao.
5 Kwa kuwa katika siku ya shida atanificha nyumbani mwake; atanificha katika mfuniko wa hema lake. Yeye ataniinua juu ya mwamba!
Ampipalira’e an-kijà’e ao t’ie an-tsam-poheke, akafi’e am-poreforetan-Kivoho’e ao; ampitongoa’e andigiligin-damilamy eo.
6 Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya maadui wote wanizungukao, nami nitatoa sadaka ya furaha hemani mwake! Nitaimba na kutunga nyimbo kwa Yahwe!
Aa le honjoneñ’ ambone’ o rafelahiko miariseho ahio ty lohako. vaho ho banabanako soroñe an-drebeke mb’an-kivoho’e ao; ho saboako, eka ho rengèko an-tsabo t’Iehovà.
7 Sikia, sauti yangu nikuitapo, Yahwe! Unihurumie, na unijibu!
Janjiño ry Iehovà, naho ikaihako am-peo! Iferenaiño vaho toiño.
8 Moyo wangu huongea kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Nami nautafuta uso wako, Yahwe!
Nitaroñe’o ami’ty foko ty hoe: Paiao ty tareheko; toe ho tsoeheko ty vinta’o, ry Iehovà.
9 Usiufiche uso wako mbali na mimi; usinikasirikie mimi mtumishi wako! Wewe umekuwa msaada wangu; usiniache wala kunitelekeza, Mungu wa wokovu wangu!
Ko aetak’ amako ty lahara’o; ko apo’o an-kaviñerañe ty mpitoro’o, Ihe mpañolotse ahy; le ko aitoa’o, naho ko farie’o ry Andrianañaharem- pandrombahañe ahiko.
10 Hata kama baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yahwe utanitunza kwako.
Ndra t’ie nadon-drae naho rene, ho rambese’ Iehovà.
11 Unifundishe njia yako, Yahwe! Kwa sababu ya adui zangu uniongoze katika njia salama.
Anaro ahy ty lala’o, ry Iehovà vaho tehafo mb’an-dalañe mira ty amo rafelahikoo.
12 Usiwaache adui zangu wanifanyie watamanivyo, kwa sababu mashahidi wa uongo wameinuka kinyume namimi, nao wanapumua vurugu!
Ko asese’o an-tsatri’ o malaiñ’ ahio; fa atretréo o mpanara vandeo, naho o mikofòke hasiahañeo.
13 Kitu gani kingeweza kunitokea kama nisingeamini kuwa nitauona uzuri wa Yahwe katika nchi ya walio hai?
Hete! atokisako te ho treako an-tanen-kaveloñe ao ty hasoa’ Iehovà—
14 Umngoje Yahwe; uwe imara, na moyo wako uwe jasiri! Umngoje Yahwe!
Itamao t’Iehovà, mihaozara, le mihafatrara arofo; eka, liñiso t’Iehovà.