< Zaburi 27 >

1 Yahwe ni nuru yangu na wokovu wangu; nimuogope nani? Yahwe ni salama ya maisha yangu; ni mhofu nani?
Af David. Herren er mit Lys og min Frelse, for hvem skal jeg frygte? Herren er mit Livs Værn, for hvem skal jeg ræddes?
2 Wakati waovu waliponijia kunila mwili wangu, wapinzani wangu na adui zangu walijikwaa na wakaanguka.
Der de onde kom frem imod mig for at æde mit Kød, mine Modstandere og mine Fjender, da snublede de og faldt.
3 Ingawa jeshi hujipanga kupigana na mimi, moyo wangu hautaogopa; japo vita vijapo inuka kupigana nami hata hapo nitabaki kuwa jasiri.
Dersom en Hær vilde lejre sig imod mig, da skal mit Hjerte ikke frygte; dersom en Krig rejses imod mig, da er jeg dog trøstig.
4 Kitu kimoja nimekiomba kwa Yahwe, nami nitakitafuta hicho: kwamba niweze kukaa katika nyumba ya Yahwe siku zote za maisha yangu, kuutazama uzuri wa Yahwe na kutafakari hekaruni mwake.
Een Ting har jeg begæret af Herren, den vil jeg søge efter; at jeg maa bo i Herrens Hus alle mine Livsdage for at beskue Herrens Livsalighed og at grunde i hans Tempel.
5 Kwa kuwa katika siku ya shida atanificha nyumbani mwake; atanificha katika mfuniko wa hema lake. Yeye ataniinua juu ya mwamba!
Thi han skal gemme mig i sin Hytte paa den onde Dag; han skal skjule mig i sit Pauluns Skjul, han skal ophøje mig paa en Klippe.
6 Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya maadui wote wanizungukao, nami nitatoa sadaka ya furaha hemani mwake! Nitaimba na kutunga nyimbo kwa Yahwe!
Og nu hæver mit Hoved sig over mine Fjender, som ere trindt omkring mig, og jeg vil ofre ham Ofre med Frydeklang i hans Paulun; jeg vil synge og lege for Herren.
7 Sikia, sauti yangu nikuitapo, Yahwe! Unihurumie, na unijibu!
Herre! hør min Røst, naar jeg raaber, og vær mig naadig og bønhør mig!
8 Moyo wangu huongea kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Nami nautafuta uso wako, Yahwe!
Til dig sagde mit Hjerte, der du sagde: „Søger mit Ansigt”, jeg søger dit Ansigt, Herre!
9 Usiufiche uso wako mbali na mimi; usinikasirikie mimi mtumishi wako! Wewe umekuwa msaada wangu; usiniache wala kunitelekeza, Mungu wa wokovu wangu!
Skjul ikke dit Ansigt for mig, forskyd ikke din Tjener i Vrede; du har været min Hjælp, opgiv mig ikke og forlad mig ikke, min Frelses Gud!
10 Hata kama baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yahwe utanitunza kwako.
Thi min Fader og min Moder forlode mig; men Herren tager mig op.
11 Unifundishe njia yako, Yahwe! Kwa sababu ya adui zangu uniongoze katika njia salama.
Herre! lær mig din Vej og led mig paa den jævne Sti, for mine Fjenders Skyld.
12 Usiwaache adui zangu wanifanyie watamanivyo, kwa sababu mashahidi wa uongo wameinuka kinyume namimi, nao wanapumua vurugu!
Giv mig ikke i mine Fjenders Vold; thi falske Vidner og de, som aande Uretfærdighed, opstode imod mig.
13 Kitu gani kingeweza kunitokea kama nisingeamini kuwa nitauona uzuri wa Yahwe katika nchi ya walio hai?
Havde jeg ikke troet, at jeg skulde se Herrens Godhed i de levendes Land —!
14 Umngoje Yahwe; uwe imara, na moyo wako uwe jasiri! Umngoje Yahwe!
Bi efter Herren, vær frimodig, og han skal styrke dit Hjerte; ja, bi efter Herren!

< Zaburi 27 >