< Zaburi 26 >

1 Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
Salmo de Davi: Faze-me justiça, SENHOR, pois eu ando em minha sinceridade; e eu confio no SENHOR, não me abalarei.
2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
Prova-me, SENHOR, e testa-me; examina meus sentimentos e meu coração.
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
Porque tua bondade está diante dos meus olhos; e eu ando em tua verdade.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
Não me sento com homens vãos, nem converso com desonestos.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
Eu odeio a reunião dos malfeitores; e não me sento com os perversos.
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
Lavo minhas mãos em inocência, e ando ao redor do teu altar, SENHOR;
7 kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
Para que eu declare com voz de louvores, e para contar todas as tuas maravilhas.
8 Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
SENHOR, eu amo a morada de tua Casa, e o lugar onde habita a tua glória.
9 Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
Não juntes minha alma com os pecadores, nem minha vida com homens sanguinários;
10 ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
Nas mãos deles há más intenções; e sua mão direita é cheia de suborno.
11 Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
Mas eu ando em minha sinceridade; livra-me e tem piedade de mim.
12 Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!
Meu pé está em um caminho plano; louvarei ao SENHOR nas congregações.

< Zaburi 26 >