< Zaburi 26 >
1 Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
IEOWA kom kotin sauasa ia, pwe i kekeit wei ni melel. I kin liki Ieowa, i sota pan luetala.
2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
Maing kom kotin kasaui ia da o kasongesong ia, o kamakelekele mudilik i kan o mongiong i.
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
Pwe i asa duen omui kalangan, o i kin weweid ni omui melel.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
I sota kin mondi ren aramas aklapalap akan, o i sota kin waroki ong me morsued akan.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
I kin tataki pokon en mesued akan, o i sota kin mondi ren me sapung kan.
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
I omiomi ki makelekel o i kin pok ong sapwilim omui pei saraui, Maing, Ieowa,
7 kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
Wasa i pan kapikapinga, ngil laudeta o padak duen omui manaman akan karos.
8 Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
Maing Ieowa, i kin pok ong wasan tanpas omui, o wasan ar lingan.
9 Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
Kom der kotin kasapoke ia la iangaki me dipan akan, de maur i iangaki me kamela aramas akan.
10 ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
Pwe pa arail me dir en morsued o re ki men ale kisakis.
11 Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
A ngai kin weweid ni makelekel. Dore ia la o kotin maki ong ia!
12 Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!
Nä i kin aluwei pung. I pan kapinga Ieowa nan momodisou kan.