< Zaburi 26 >

1 Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
Daavidin virsi. Auta minut oikeuteeni, Herra, sillä minä olen vaeltanut nuhteettomasti ja turvaan horjumatta Herraan.
2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
Tutki minua, Herra, ja pane minut koetukselle, koettele minun munaskuuni ja sydämeni.
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
Sillä sinun armosi on minun silmäini edessä, ja minä olen vaeltanut sinun totuudessasi.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
En minä istu valheen miesten seurassa enkä kulje salakavalain kanssa.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
Minä vihaan pahojen seuraa enkä istu jumalattomien parissa.
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
Minä pesen käteni viattomuudessa, ja astun kulkueessa sinun alttarisi ympäri, Herra,
7 kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
antaakseni kuulua kiitokseni äänen ja julistaakseni kaikkia sinun ihmeitäsi.
8 Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
Herra, minä rakastan sinun huonettasi, sinun asuinsijaasi, sitä paikkaa, jossa sinun kirkkautesi asuu.
9 Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
Älä tempaa pois minun sieluani syntisten kanssa äläkä minun henkeäni verenvuodattajain kanssa,
10 ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
joiden käsiä ilkityö tahraa, joiden oikea käsi on lahjuksia täynnä.
11 Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
Mutta minä vaellan nuhteettomasti; vapahda minut ja ole minulle armollinen.
12 Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!
Minun jalkani seisoo tasaisella maalla; seurakunnan kokouksissa minä kiitän Herraa.

< Zaburi 26 >