< Zaburi 26 >
1 Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
Davidin Psalmi. Tuomitse minua, Herra; sillä minä olen vakuudessani vaeltanut: ja minä toivon Herraan, sentähden en minä livistele.
2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
Koettele minua, Herra, ja kiusaa minua: puhdista minun munaskuuni ja sydämeni.
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
Sillä sinun hyvyytes on silmäini edessä, ja minä vaellan sinun totuudessas.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
En minä istu turhain ihmisten seassa, enkä seuraa petollisia.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
Minä vihaan pahain seurakuntaa, enkä istu jumalattomain tykönä.
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
Minä pesen käteni viattomuudessa, ja oleskelen, Herra, alttaris tykönä,
7 kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
Kussa kiitossanan ääni kuullaan, ja kaikki sinun ihmees saarnataan.
8 Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
Herra, minä rakastin sinun huonees asuinsiaa ja sitä siaa, jossa sinun kunnias asuu.
9 Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
Älä tempaa minun sieluani pois syntisten kanssa ja henkeäni verikoirain kanssa,
10 ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
Jotka pahanjuoniset ovat ja mielellänsä lahjoja ottavat.
11 Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
Mutta minä vaellan viattomuudessani: vapahda minua ja ole minulle armollinen!
12 Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!
Minun jalkani käy oikiasti: minä kiitän Herraa seurakunnissa.