< Zaburi 25 >
1 Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
De David. A Ti, Yahvé, Dios mío, elevo mi alma;
2 Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
en Ti confío, no sea yo confundido; no se gocen a costa mía mis enemigos.
3 Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
No, ninguno que espera en Ti es confundido. Confundido queda el que locamente se aparta de Ti.
4 Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
Muéstrame tus caminos, oh Yahvé, indícame tus sendas;
5 Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
condúceme a tu verdad e instrúyeme, porque Tú eres el Dios que me salva, y estoy siempre esperándote.
6 Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
Acuérdate, Yahvé, de tus misericordias, y de tus bondades de todos los tiempos.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
No recuerdes los pecados de mi mocedad, [ni mis ofensas]; según tu benevolencia acuérdate de mí, por tu bondad, oh Yahvé.
8 Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
Yahvé es benigno y es recto; por eso da a los pecadores una ley para el camino;
9 Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
guía en la justicia a los humildes, y amaestra a los dóciles en sus vías.
10 Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
Todos los caminos de Yahvé son misericordia y fidelidad para cuantos buscan su alianza y sus disposiciones.
11 Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
Por la gloria de tu Nombre, oh Yahvé, Tú perdonarás mi culpa, aunque es muy grande.
12 Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
¿Hay algún hombre que tema a Yahvé? A ese le mostrará Él qué senda elegir;
13 Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
reposará su alma rodeada de bienes, y su descendencia poseerá la tierra.
14 Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
Yahvé concede intimidad familiar a los que le temen; les da a conocer (las promesas de) su alianza.
15 Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
Mis ojos están siempre puestos en Yahvé porque Él saca mis pies del lazo.
16 Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
Mírame Tú y tenme lástima, porque soy miserable y estoy solo.
17 Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
Ensancha mi corazón angustiado, sácame de mis estrecheces.
18 Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
Mira que estoy cargado y agobiado, y perdona Tú todos mis delitos.
19 Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
Repara en mis enemigos, porque son muchos y me odian con odio feroz.
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
Cuida Tú mi alma y sálvame; no tenga yo que sonrojarme de haber acudido a Ti.
21 Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
Los íntegros y justos están unidos conmigo, porque espero en Ti.
22 Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!
Oh Yahvé, libra a Israel de todas sus tribulaciones.