< Zaburi 25 >

1 Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
En Psalme af David. Til dig, Herre! opløfter jeg min Sjæl.
2 Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
Jeg forlader mig paa dig, min Gud! lad mig ikke beskæmmes, at mine Fjender ikke skulle fryde sig over mig.
3 Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
Ja, ingen, som bier efter dig, skal beskæmmes; beskæmmes skulle de, som handle troløst uden Aarsag.
4 Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
Herre! lad mig kende dine Veje, lær mig dine Stier.
5 Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
Gør, at jeg gaar frem i din Sandhed, og lær mig den; thi du er min Frelses Gud, jeg bier efter dig den ganske Dag.
6 Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
Herre! kom din Barmhjertighed og din Miskundhed i Hu; thi de have været fra Evighed.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
Kom ikke mine Ungdoms Synder eller mine Overtrædelser i Hu; men kom du mig i Hu efter din Miskundhed for din Godheds Skyld, Herre!
8 Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
Herren er god og oprigtig, derfor underviser han Syndere om Vejen.
9 Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
Han skal gøre, at de ydmygede komme til Ret, og han skal lære de ydmygede sin Vej.
10 Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
Alle Herrens Stier ere Miskundhed og Sandhed for dem, som bevare hans Pagt og hans Vidnesbyrd.
11 Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
For dit Navns Skyld, Herre, forlad mig dog min Misgerning; thi den er stor.
12 Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
Hvo er den Mand, som frygter Herren? han skal undervise ham om den Vej, som han skal udvælge.
13 Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
Hans Sjæl skal bo i Lyksalighed, og hans Sæd skal arve Landet.
14 Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
Herrens Omgang er med dem, som frygte ham, og hans Pagt er med dem, til at lade dem kende den.
15 Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
Mine Øjne ere stedse til Herren; thi han skal drage mine Fødder ud af Garnet.
16 Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
Vend dit Ansigt til mig og vær mig naadig; thi jeg er enlig og elendig.
17 Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
Mit Hjertes Ængstelser have vidt udbredt sig; før mig ud af mine Trængsler!
18 Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
Se hen til min Elendighed og min Møje, og forlad mig alle mine Synder!
19 Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
Se hen til mine Fjender, thi de ere mange; og de hade mig med uretfærdigt Had.
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
Bevar min Sjæl og red mig, at jeg ikke beskæmmes, thi jeg tror paa dig.
21 Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
Lad Retsindighed og Oprigtighed bevare mig; thi jeg bier efter dig.
22 Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!
Forløs, o Gud, Israel af al dets Nød!

< Zaburi 25 >