< Zaburi 25 >
1 Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
Kathutkung: Devit Oe BAWIPA nang koe ka ratoum.
2 Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
Oe ka Cathut nang teh na kâuep dawkvah, Kayanae koe na phat sak hanh, ka tarannaw ni na tâ hanh naseh.
3 Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
Nang na karingnaw teh kayak awh mahoeh. Hatei, nang taran hanlah a hue karangnaw teh a kaya awh han.
4 Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
Oe, BAWIPA na lamthung hah na cangkhai nateh na panuek sak haw.
5 Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
Nang teh kaie rungngangnae lah na o dawkvah na lawkkatang boiboe lah hringnae teh na cangkhai haw. Amon hoi kanîloum ditouh nang hah na kâuep han.
6 Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
Oe BAWIPA yampa hoi ka lathueng vah na la kamnue sak e lungpatawnae, pahrennae teh pahnim hanh.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
Ka naw nah ka yonnae hoi ka payonnae teh na ngaithoum haw, kacakpounge na lungmanae hoi na hawinae kecu dawk kai teh na pahnim hanh Bawipa.
8 Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
BAWIPA teh a lan teh ahawi. Tamikayonnaw ni a dawn e lamthungnaw hai a cangkhai.
9 Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
A lungthin kârahnoum e teh lam kalan dawk a hrawi teh angnae hno hah a cangkhai.
10 Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
A lawkkam hoi kâlawk katarawinaw teh lungpatawnae hoi a hrawi teh yuemkamculah a ceikhai.
11 Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
Oe, Cathut ka yonnae teh banghloi kalen nakunghai na min lahoi na ngaithoum haw.
12 Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
BAWIPA kâlawk ka tarawi e teh a dawn hane lamthung a panue han.
13 Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
Lungnem lahoi na o vaiteh na canaw teh hete ram dawkvah phu kanepcalah kho a sak awh han.
14 Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
BAWIPA e kâlawk katarawinaw e hui lah ao teh a lawkkam teh a cangkhai awh.
15 Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
BAWIPA teh kâuep yungyoe, hatdawvak tangkam dawk hoi ka khoh hah a rasa han.
16 Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
Oe, BAWIPA kai koe lah kangvawi nateh na pahren haw, bangdawk tetpawiteh ka o a ru teh ka thayung abaw.
17 Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
Ka lung reithainae naw pueng teh na panue patetlah ka runae pueng koehoi na rungngang haw.
18 Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
Ka reithainae puenghoi ka khangnae naw pueng hah, na pouk pouh teh, ka yonnae naw pueng teh na ngaithoum haw.
19 Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
Ka tarannaw apap e hoi, kai puenghoi na hmuhma awh e hah pouk haw.
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
Ka hringnae ring nateh na rungngang haw. Hloutnae hmu ka ngai dawkvah nang teh na pâtam. Yeiraipo hoi na awm sak hanh.
21 Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
Nang teh na kâuep dawkvah ka hawinae hoi laithoehoehnae ni na la ngue lawi seh.
22 Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!
Oe, BAWIPA Isarelnaw runae koehoi rungngang haw.