< Zaburi 24 >
1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Псалом Давидів.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
бо заклав Він її на моря́х, і на річках її встанови́в.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Хто зі́йде на го́ру Господню, і хто бу́де стояти на місці святому Його? —
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
У кого́ чисті руки та щиреє серце, і хто не нахиля́в на марно́ту своєї душі, і хто не присягав на обма́ну,
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
нехай но́сить він благослове́ння від Господа, а праведність — від Бога спасі́ння свого!
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Таке поколі́ння усіх, хто шукає Його́, хто пра́гне обличчя Твого́, Боже Яковів! (Се́ла)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Піднесі́те верхи́ свої, брами, і будьте відчи́нені, вхо́ди відві́чні, — і вві́йде Цар слави!
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Хто ж то Цар слави? — Господь си́льний й могу́тній, Господь, що поту́жний в бою́!
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Піднесіте верхи́ свої, брами, і піднесіте, вхо́ди відві́чні, — і вві́йде Цар слави!
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Хто ж то Він, той Цар слави? Господь Савао́т — Він Цар слави! (Се́ла)