< Zaburi 24 >

1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Псалом Давида. Господня земля и что наполняет ее, вселенная и все живущее в ней,
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
ибо Он основал ее на морях и на реках утвердил ее.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Кто взойдет на гору Господню, или кто станет на святом месте Его?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
Тот, у которого руки неповинны и сердце чисто, кто не клялся душою своею напрасно и не божился ложно, -
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
тот получит благословение от Господа и милость от Бога, Спасителя своего.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Таков род ищущих Его, ищущих лица Твоего, Боже Иакова!
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Поднимите, врата, верхи ваши, и поднимитесь, двери вечные, и войдет Царь славы!
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Кто сей Царь славы? - Господь крепкий и сильный, Господь, сильный в брани.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Поднимите, врата, верхи ваши, и поднимитесь, двери вечные, и войдет Царь славы!
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Кто сей Царь славы? - Господь сил, Он - царь славы.

< Zaburi 24 >