< Zaburi 24 >

1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Do Senhor é a terra e a sua plenitude, o mundo e aqueles que nele habitam.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
Porque ele a fundou sobre os mares, e a firmou sobre os rios.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Quem subirá ao monte do Senhor, ou quem estará no seu lugar santo?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
Aquele que é limpo de mãos e puro de coração, que não entrega a sua alma à vaidade, nem jura enganosamente,
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
Este receberá a benção do Senhor e a justiça do Deus da sua salvação.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Esta é a geração daqueles que buscam, daqueles que buscam a tua face, ó Deus de Jacob (Selah)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Levantai, ó portas, as vossas cabeças; levantai-vos ó entradas eternas, e entrará o Rei da glória.
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Quem é este Rei da glória? O Senhor forte e poderoso, o Senhor poderoso na guerra.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Levantai, ó portas, as vossas cabeças, levantai-vos ó entradas eternas, e entrará o Rei da glória.
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Quem é este Rei da glória? O Senhor dos exércitos, ele é o Rei da glória (Selah)

< Zaburi 24 >