< Zaburi 24 >

1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Psalm Dawida. Do PANA należy ziemia i wszystko, co ją napełnia, świat i jego mieszkańcy.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
Na morzach bowiem ugruntował go i utwierdził na rzekach.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Któż wstąpi na górę PANA? Kto stanie w jego świętym miejscu?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
[Człowiek] rąk nieskalanych i czystego serca, który nie skłania swej duszy ku marności i nie przysięga podstępnie.
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
On otrzyma błogosławieństwo od PANA i sprawiedliwość od Boga, swego Zbawiciela.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
To jest pokolenie tych, którzy go szukają, którzy szukają twego oblicza, [Boże] Jakuba. (Sela)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Podnieście, o bramy, wasze głowy; podnieście się, wrota odwieczne, aby wszedł Król chwały.
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Któż jest tym Królem chwały? PAN mocny i potężny, PAN potężny w boju.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Podnieście, o bramy, wasze głowy; podnieście się, wrota odwieczne, aby wszedł Król chwały.
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Któż jest tym Królem chwały? PAN zastępów, on [jest] Królem chwały. (Sela)

< Zaburi 24 >