< Zaburi 24 >
1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Psalm Dawidowy. Pańska jest ziemia, i napełnienie jej, okrąg ziemi, i którzy mieszkają na nim.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
Bo on na morzu ugruntował ją, a na rzekach utwierdził ją.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Któż wstąpi na górę Pańską? a kto stanie na miejscu świętem jego?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
Człowiek niewinnych rąk i czystego serca, który nie skłania ku marności duszy swej, a nie przysięga zdradliwie.
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
Ten weźmie błogosławieństwo od Pana, i sprawiedliwość od Boga zbawiciela swego.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Tenci jest naród szukających go, szukających oblicza twego, Boże Jakóbowy! (Sela)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Podnieścież, o bramy! wierzchy wasze; podnieście się, wy bramy wieczne! aby wszedł król chwały!
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Któryż to jest król chwały? Pan mocny i możny, Pan mocny w boju.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Podnieścież, o bramy! wierzchy wasze; podnieście się, wy bramy wieczne! aby wszedł król chwały.
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Który to jest król chwały? Pan zastępów, tenci jest król chwały. (Sela)