< Zaburi 24 >

1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
ダビデの歌 地と、それに満ちるもの、世界と、そのなかに住む者とは主のものである。
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
主はその基を大海のうえにすえ、大川のうえに定められた。
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
主の山に登るべき者はだれか。その聖所に立つべき者はだれか。
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
手が清く、心のいさぎよい者、その魂がむなしい事に望みをかけない者、偽って誓わない者こそ、その人である。
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
このような人は主から祝福をうけ、その救の神から義をうける。
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
これこそ主を慕う者のやから、ヤコブの神の、み顔を求める者のやからである。 (セラ)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
門よ、こうべをあげよ。とこしえの戸よ、あがれ。栄光の王がはいられる。
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
栄光の王とはだれか。強く勇ましい主、戦いに勇ましい主である。
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
門よ、こうべをあげよ。とこしえの戸よ、あがれ。栄光の王がはいられる。
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
この栄光の王とはだれか。万軍の主、これこそ栄光の王である。 (セラ)

< Zaburi 24 >