< Zaburi 24 >
1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
De David. Psaume. A l’Eternel appartient la terre et ce qu’elle renferme, le globe et ceux qui l’habitent.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
Car c’est lui qui l’a fondée sur les mers et affermie sur les flots.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Qui s’élèvera sur la montagne du Seigneur? Qui se tiendra dans sa sainte résidence?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
Celui dont les mains sont sans tache, le cœur pur, qui n’atteste pas ma personne pour la fausseté, et ne prête pas de serment frauduleux:
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
celui-là obtiendra la bénédiction de l’Eternel, la bienveillance du Dieu de son salut.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Tel est le sort de ses adorateurs, de ceux qui recherchent ta face, de Jacob. (Sélah)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Exhaussez, ô portes, vos frontons, relevez-vous, portails antiques, pour qu’il entre, le roi de gloire!
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Qui donc est ce roi de gloire?" L’Eternel fort et puissant, l’Eternel, héros dans la guerre.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Exhaussez, ô portes, vos frontons, relevez-vous, portails antiques, pour qu’il entre, le roi de gloire!
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
"Qui donc est ce roi de gloire?" L’Eternel-Cebaot, c’est lui qui est le roi de gloire! (Sélah)