< Zaburi 24 >

1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Af David. En Salme. HERRENS er Jorden og dens Fylde, Jorderig og de, som bor derpaa;
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
thi han har grundlagt den paa Have, grundfæstet den paa Strømme.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Hvo kan gaa op paa HERRENS Bjerg, og hvo kan staa paa hans hellige Sted?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
Den med skyldfri Hænder og Hjertet rent, som ikke sætter sin Hu til Løgn og ikke sværger falsk;
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
han faar Velsignelse fra HERREN, Retfærdighed fra sin Frelses Gud.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Saa er den Slægt, som spørger efter ham, som søger dit Aasyn, Jakobs Gud! (Sela)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Løft eders Hoveder, I Porte, løft jer, I ældgamle Døre, at Ærens Konge kan drage ind!
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Hvo er den Ærens Konge? HERREN, stærk og vældig, HERREN, vældig i Krig!
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Løft eders Hoveder, I Porte, løft jer, I ældgamle Døre, at Ærens Konge kan drage ind!
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Hvo er han, den Ærens Konge? HERREN, Hærskarers Herre, han er Ærens Konge! (Sela)

< Zaburi 24 >