< Zaburi 24 >
1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
Žalm Davidův. Hospodinova jest země, a plnost její, okršlek země, i ti, kteříž obývají na něm.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
Nebo on ji na moři založil, a na řekách upevnil ji.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
Kdo vstoupí na horu Hospodinovu? A kdo stane na místě svatém jeho?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
Ten, kdož jest rukou nevinných, a srdce čistého, kdož neobrací duše své k marnosti, a nepřisahá lstivě.
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
Ten přijme požehnání od Hospodina, a spravedlnost od Boha spasitele svého.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Toť jest národ hledajících jeho, hledajících tváři tvé, ó Bože Jákobův. (Sélah)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Pozdvihnětež, ó brány, svrchků svých, pozdvihnětež se vrata věčná, aby vjíti mohl král slávy.
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Kdož jest to ten král slávy? Hospodin silný a mocný, Hospodin udatný válečník.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Pozdvihnětež, ó brány, svrchků svých, pozdvihněte se vrata věčná, aby vjíti mohl král slávy.
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Kdož jest to ten král slávy? Hospodin zástupů, onť jest král slávy. (Sélah)