< Zaburi 24 >

1 Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
David kah Tingtoenglung Diklai neh a a cungkuem khaw, lunglai neh anih dongkah khosa rhoek khaw BOEIPA kah ni.
2 Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
Amah loh tuitunli dongah a sut tih tuiva dongah a pai sak.
3 Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
BOEIPA tlang la unim aka luei vetih a hmuen cim ah unim aka pai eh?
4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
A kut aka ommongsitoe tih thinko aka caih, a hinglu loh a poeyoek la aka nuen pawh, hlangthai palat la ol aka caeng pawt long ni,
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
BOEIPA taeng lamkah yoethennah neh daemnah Pathen amah taengkah duengnah te a dang eh.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
BOEIPA te a tlap la aka tlap thawnpuei tah Jakob Pathen namah maelhmai aka tlap rhoek pai ni. (Selah)
7 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Aw vong ka rhoek na lu dangrhoek uh lah. Khosuen thohka rhoek khaw pom uh hang lamtah thangpomnah manghai kun lah saeh.
8 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
Thangpomnah manghai he unim? BOEIPA hlangtlung pa-al neh hlangrhalh pai ni. BOEIPA tah caemtloek hlangrhalh pai ni.
9 Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
Aw vong ka rhoek na lu dangrhoek uh lah. Khosuen thohka rhoek khaw rhoep uh lamtah thangpomnah manghai kun lah saeh.
10 Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.
Thangpomnah manghai amah he unim? Thangpomnah manghai tah caempuei BOEIPA amah pai ni. (Selah)

< Zaburi 24 >