< Zaburi 23 >

1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
Gospod je pastir moj, ništa mi neæe nedostajati.
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
Na zelenoj paši pase me, vodi me na tihu vodu.
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
Dušu moju oporavlja, vodi me stazama pravednim imena radi svojega.
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
Da poðem i dolinom sjena smrtnoga, neæu se bojati zla; jer si ti sa mnom; štap tvoj i palica tvoja tješi me.
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
Postavio si preda mnom trpezu na vidiku neprijateljima mojim; namazao si uljem glavu moju, i èaša je moja preopuna.
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
Da! dobrota i milost tvoja pratiæe me u sve dane života mojega, i ja æu nastavati u domu Gospodnjem zadugo.

< Zaburi 23 >