< Zaburi 23 >
1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
IEOWA jile pa i, i jota pan anane meakot.
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
A kotin kamana ia nan moj kajelel o kalua ia won ni pil lamelamur.
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
A kotin kamanada nen i, a kalua ia pon al pun pweki mar a.
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
I lao weid nan mot en mela, i jota pan majak me jued kot, pwe kom kotin ieian ia, omui irar o lepin jaipali kamait ia la.
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
Kom kotin kaonop dan ia tepel eu jalon ai imwintiti kan. Kom kotin keiekidi mon ai le, o ai dal kin wudewudok.
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
Pai o kalanan pan idauen ia arain ai maur, o i pan mimieta nan tanpaj en leowa kokolata.