< Zaburi 23 >

1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
Dāvida dziesma. Tas Kungs ir mans gans, man netrūks nenieka.
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
Viņš man liek ganīties uz zālainām ganībām, Viņš mani vada pie palēna ūdens.
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
Viņš atspirdzina manu dvēseli, Viņš mani ved uz taisnības ceļiem Sava Vārda dēļ.
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
Jebšu es arī staigātu nāves ēnas ielejā, taču ļaunuma nebīstos; jo Tu esi pie manis, Tavs koks(ganu vēzda) un Tavs zizlis mani iepriecina.
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
Tu sataisi manā priekšā galdu pret maniem ienaidniekiem, Tu svaidi manu galvu ar eļļu, mans biķeris ir papilnam pieliets.
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
Tiešām, labums un žēlastība mani pavadīs visu manu mūžu, un es palikšu Tā Kunga namā vienmēr.

< Zaburi 23 >