< Zaburi 23 >
1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
[Psalm lal David] LEUM GOD El mwet shepherd luk; Wanginna ma nga ac kena kac.
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
El oru nga in ona in ima folfol insroa; El kolyula nu sisken kof mihs.
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
El akkeyala ngunik. El kolyu inkanek suwoswos ke Inel.
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
Nga finne fufahsryesr infahlfal lun ngunin misa Nga ac fah tia sangeng ke kutena ma koluk; Tuh kom wiyu. Sak lom ac sikal lom akwoyeyu.
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
Kom akoo sie tepu nu sik Ye mutun mwet lokoalok luk. Kom mosrwela sifuk ke oil; Cup luk kahkla.
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
Pwaye wo ac lungkulang fah wiyu in len nukewa in moul luk; Ac nga ac fah muta in lohm sin LEUM GOD ma pahtpat.