< Zaburi 23 >

1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
Psalmo de David. La Eternulo estas mia paŝtisto; mi mankon ne havos.
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
Sur verdaj herbejoj Li ripozigas min, Apud trankvilaj akvoj Li kondukas min.
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
Li kvietigas mian animon; Li kondukas min laŭ vojo de la vero, pro Sia nomo.
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
Eĉ kiam mi iros tra valo de densa mallumo, Mi ne timos malbonon, ĉar Vi estas kun mi; Via bastono kaj apogiĝilo trankviligos min.
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
Vi kovras por mi tablon antaŭ miaj malamikoj; Vi ŝmiris per oleo mian kapon, mia pokalo estas plenigita.
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
Nur bono kaj favoro sekvos min en la daŭro de mia tuta vivo; Kaj mi restos en la domo de la Eternulo eterne.

< Zaburi 23 >