< Zaburi 23 >

1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
大衛的詩。 耶和華是我的牧者, 我必不致缺乏。
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
他使我躺臥在青草地上, 領我在可安歇的水邊。
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
他使我的靈魂甦醒, 為自己的名引導我走義路。
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
我雖然行過死蔭的幽谷, 也不怕遭害, 因為你與我同在; 你的杖,你的竿,都安慰我。
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
在我敵人面前,你為我擺設筵席; 你用油膏了我的頭,使我的福杯滿溢。
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
我一生一世必有恩惠慈愛隨着我; 我且要住在耶和華的殿中,直到永遠。

< Zaburi 23 >