< Zaburi 23 >

1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
祂使我臥在青綠的草場,又領我走進幽靜的水旁。
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
祂使我的心靈得到舒暢。祂為了自己名號的原由,領我踏上了正義的坦途。
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
縱使我走過陰森的幽谷,我也不怕兇險,因你與我同住。
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
你的牧杖和短棒,是我的安慰舒暢。
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
祂在我對頭前面,為我擺設了筵席;祂在我的頭上傅油,使我的杯爵滿溢。
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
在我一生歲月裏,幸福與慈愛常隨不離;我要住在上主的殿裏,直至悠遠的時日。

< Zaburi 23 >