< Zaburi 23 >
1 Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
Hina Gode da na sibi ouligisu dunu. Na da hahanidafa hame esalumu.
2 Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
E da na gisi nasegagi amo da: iya helefimusa: , oule ahoa.
3 Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
E da nama gasa gaheabolo iaha. E da nama ilegele sia: i defele, esalusu logo moloidafa amoga na oule ahoa.
4 Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
Hina Gode! Na da bogosu gasidunasi amo ganodini ahoasea, na da hame beda: mu. Bai Di ani gilisili esalebeba: le. Dia sibi ouligisu galiamo da na gaga: lala.
5 Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
Dia nagili lolo nasu hamonana. Na ha lai dunu ilia ba: ma: ne, Di hamonana. Di nama yosia: ne, nama hahawane nodone aowasa. Di da na faigelei nabalesilala.
6 Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!
Na dawa: Dia asigi hou amola noga: idafa hou da eso huluane na esalea, nama dialumu. Amola na da Dia diasu ganodini Fifi ahoanusu ba: mu.