< Zaburi 22 >

1 Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
Zborovođi. Po napjevu “Košuta u zoru”. Psalam. Davidov. Bože moj, Bože moj, zašto si me ostavio? Daleko si od ridanja moga.
2 Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
Bože moj, vičem danju, al'ne odvraćaš; noću vapijem i nema mi počinka.
3 Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
A ipak, ti u Svetištu prebivaš, Nado Izraelova!
4 Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
U tebe se očevi naši uzdaše, uzdaše se, i ti ih izbavi;
5 Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
k tebi su vikali i spasavali se, u tebe se uzdali, i postidjeli se nisu.
6 Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
A ja, crv sam, a ne čovjek, ruglo ljudi i naroda prezir.
7 Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
Koji me vode, podruguju se meni, razvlače usne, mašu glavom:
8 Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
“U Jahvu se on uzda, neka ga sad izbavi, neka ga spasi ako mu omilje!”
9 Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
Iz krila majčina ti si me izveo, mir mi dao na grudima majke.
10 Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
Tebi sam predan iz materine utrobe, od krila majčina ti si Bog moj.
11 Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
Ne udaljuj se od mene, blizu je nevolja, a nikog nema da mi pomogne.
12 Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
Opkoliše me junci mnogobrojni, bašanski bikovi okružiše mene.
13 Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
Ždrijela svoja razvaljuju na me k'o lav koji plijen kida i riče.
14 Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
Kao voda razlih se, sve mi se kosti rasuše; srce mi posta poput voska, topi se u grudima mojim.
15 Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
Grlo je moje kao crijep suho, i moj se jezik uz nepce slijepi: u prah smrtni bacio si mene.
16 Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
Opkolio me čopor pasa, rulje me zločinačke okružile. Probodoše mi ruke i noge,
17 Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
sve kosti svoje prebrojiti mogu, a oni me gledaju i zure na me.
18 Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
Haljine moje dijele među sobom i kocku bacaju za odjeću moju.
19 Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
Ali ti, o Jahve, daleko mi ne budi; snago moja, pohiti mi u pomoć!
20 Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
Dušu moju istrgni maču, iz šapa pasjih život moj.
21 Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
Spasi me iz ralja lavljih i jadnu mi dušu od rogova bivoljih!
22 Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
A sada, braći ću svojoj naviještat' ime tvoje, hvalit ću te usred zbora.
23 Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
“Koji se bojite Jahve, hvalite njega! Svi od roda Jakovljeva, slavite njega! Svi potomci Izraelovi, njega se bojte!
24 Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
Jer nije prezreo ni zaboravio muku jadnika, i nije sakrio lice svoje od njega; kad ga je zazvao, on ga je čuo.”
25 Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
Zato ću te hvaliti u zboru veliku, pred vjernicima tvojim izvršit' zavjete.
26 Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
Siromasi će jesti i nasitit će se, hvalit će Jahvu koji traže njega: nek' živi srce vaše dovijeka!
27 Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
Spomenut će se i Jahvi se vratit' svi krajevi zemlje; pred njim će n§icÄe pasti sve obitelji pogana.
28 Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
Jer Jahvino je kraljevstvo, on je vladar pucima.
29 Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
Njemu će se jedinom klanjati svi koji snivaju u zemlji, pred njim se sagnuti svi koji u prah silaze. I moja će duša za njega živjeti,
30 Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
njemu će služiti potomstvo moje. O Gospodu će se pripovijedat'
31 Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!
slijedećem koljenu, o njegovoj pravdi naviještati narodu budućem: “Ovo učini Jahve!”

< Zaburi 22 >