< Zaburi 22 >

1 Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
[Mincang ah sayuk rhuinu taengah aka mawt ham David kah Tingtoenglung] Ka Pathen, ka Pathen, ba ham lae kai nan hnoo sut tih kai kah khangnah, ka kawknah ol neh nan lakhla tak?
2 Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
Aw ka Pathen khothaih ah ka pang dae nan doo pawt tih khoyin ah khaw ka duemnah om pawh.
3 Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
Tedae nang tah Israel kah koehnah dongah a cim la na ngol coeng.
4 Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
A pa rhoek loh nang dongah pangtung uh. A pangtung uh dongah amih te na hlawt.
5 Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
Nang taengah pang uh tih a poeng a hal uh coeng. Nang dongah pangtung uh tih yak uh pawh.
6 Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
Tedae kai he talam ni, hlang moenih. Hlang kah kokhahnah neh pilnam kah a hnaep hlang ni.
7 Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
Kai aka hmu boeih loh, kai taengah a hmui te a saibaeh uh phoeiah lu a hinghuen uh tih,
8 Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
“BOEIPA dongah a hmae dongah BOEIPA amah dongah hangdang saeh anih te hlawt saeh lamtah huul saeh,” tila n'tamdaeng uh.
9 Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
Tedae namah loh bung khui lamkah kai nan poh tih, a nu kah rhangsuk dongah kai nan pangtung sak.
10 Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
Bung khui lamkah ka om paek vaengah nang dongah ka voei uh. A nu bung khui lamkah mah nang he kai kah Pathen ni.
11 Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
Citcai loh ha yoei tih aka bom khaw a om pawt dongah kai taeng lamkah n'lakhla tak boeh.
12 Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
Kai he vaitotal rhoek loh muep m'vael uh tih Bashan vaito aka lueng rhoek loh kai n'dum uh.
13 Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
Sa aka nget tih aka kawk sathueng bangla kai taengah a ka a ang uh.
14 Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
Tui bangla n'hawk uh tih ka rhuh khaw boeih phit coeng. Ka lungbuei he khoirhat bangla om tih ka ko khui ah paci coeng.
15 Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
Ka thadueng he paikaek bangla rhae tih, ka lai khaw ka dang la kap coeng. Te dongah dueknah laipi khuila kai nan tloeng.
16 Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
Ui rhoek loh kai n'hil uh tih, thaehuet hlangboel loh kai m'vael. Ka kut ka kho han toeh uh.
17 Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
Ka rhuh boeih ka tae thai. Amih loh kai he m'paelki uh tih m'hmuh uh.
18 Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
Ka himbai te amamih tael uh thae tih kai kah pueinak ham hmulung a naan uh.
19 Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
Tedae BOEIPA nang loh n'lakhla tak boeh. Ka thayung aw kai bomnah ham ha tawn uh laeh.
20 Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
Ka hinglu he cunghang lamkah, ka oingaih cangloeng te ui kut lamkah han huul lah.
21 Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
Sathueng ka lamkah kai n'khang lamtah cung ki dong lamkah kai he n'doo lah.
22 Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
Ka manuca taengah na ming ka doek vetih namah te hlangping lakli ah kan thangthen eh.
23 Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
BOEIPA aka rhih rhoek loh amah te thangthen uh. Jakob kah tiingan boeih loh amah te oep uh lamtah Israel tiingan boeih loh amah taengah bakuep uh.
24 Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
Mangdaeng te hnaep pawt tih citcai khaw tuei pawh. A maelhmai te anih taeng lamloh thuh pawt tih, amah taengla a pang vaengah a yaak pah.
25 Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
Nang lamloh hlangping pasae taengah koehnah ka khueh vetih BOEIPA aka rhih rhoek taengah ka olcaeng ka thuung ni.
26 Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
Kodo buh a caak uh vetih hah uh ni. Amah aka toem rhoek loh BOEIPA a thangthen uh ni. Nangmih kah thinko te a yoeyah la hing ni.
27 Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
Kho bawt kho le boeih loh a poek uh vaengah BOEIPA taengla ha bal uh vetih namtom huiko boeih loh namah hmai ah bakop uh bitni.
28 Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
Mangpa neh namtom taemrhai he BOEIPA hut ni.
29 Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
Diklai kuirhang boeih loh a caak uh vetih anih hmai ah bakop uh ni. Laipi la aka suntla neh a hinglu aka hing pawt boeih khaw cungkueng uh ni.
30 Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
A tii a ngan loh amah taengah tho a thueng uh vetih, thawnpuei taengah Boeipa kawng a doek ni.
31 Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!
Pilnam la saii ham a cun taengla halo uh vetih BOEIPA kah duengnah te a doek uh ni.

< Zaburi 22 >