< Zaburi 21 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mfalme anashangilia katika uweza wako, Yahwe! Ni kwa namna kuu anashangilia katika wokovu uliouleta!
Kathutkung: Devit Oe BAWIPA, na thaonae dawk siangpahrang ni a konawm han. Na rungngangnae dawk banghloimaw a konawmnae a tawn han,
2 Wewe umempa yeye matamanio ya moyo wake na hauja mkatalia maombi midomo yake.
Apâhni hoi a kâhei e hah na oun hoeh niteh, a lungthin ngainae hah na poe toe. (Selah)
3 Kwa kuwa wewe unamletea baraka nyingi; wewe uliweka katika kichwa chake taji ya dhahabu iliyo safi kabisa.
Bangkongtetpawiteh, hawinae yawhawi hoi na dawn teh, a lû dawk suikathoung bawilukhung hoi na kâmuk sak.
4 Yeye alikuomba wewe maisha; ukampatia maisha; wewe ulimpatia maisha malefu milele na milele.
Nang koe a hei e hringnae, a yungyoe hoi a yungyoe totouh hringsawnae hah na poe.
5 Yeye utukufu wake ni mkuu kwa sababu ya ushindi wako; wewe umemuwekea mapambo na enzi.
A bawilennae teh na rungngangnae dawkvah a len, barinae hoi taluenae teh ahni dawk na patue toe.
6 Kwa kuwa unampatia yeye baraka za kudumu; unamfurahisha kwa furaha ya uwepo wako.
Bangkongtetpawiteh, a yungyoe hane yawhawinae lentoe kacoekung lah na sak teh, na hmalah puenghoi a lung kahawi hanelah na coung sak.
7 Kwa kuwa Mfalme humwamini Yahwe; kwa kupitia uaminifu wa agano la aliye juu zaidi yeye hataondolewa.
Bangkongtetpawiteh, siangpahrang ni BAWIPA hah a kâuep. Lathueng Poung lungmanae lahoi kâhuen mahoeh.
8 Mkono wako utawakamata adui zangu wote wote; mkono wako wa kuume utawakamata wale wote wanao kuchukia.
Na kut ni na taran pueng hmawt vaiteh, aranglae na kut ni na ka hmuhma e pueng hah a hmu han.
9 Wakati wa hasira yako, wewe utawachoma kama katika tanuru la moto. Yahwe atawamaliza wao katika hasira yake, na moto utawateketeza upesi wao.
Na lungkhuek toteh, ahnimouh hah takhuen patetlah na coung sak han. BAWIPA ni ahnimouh teh, a lungkhueknae lahoi payawp vaiteh, a hmai ni koung a kak awh han.
10 Wewe utawaangamiza watoto wao duniani na ukoo wao kutoka katika mrorongo wa wanadamu.
A catounnaw hah talai van hoi koung takhoe pouh vaiteh, a catounnaw hah miphunnaw thung hoi na takhoe han.
11 Kwa kuwa walikusudia kukufanyia mambo maovu wewe; wao walitunga njama ambayo kwayo hawawezi kufanikiwa!
Bangkongtetpawiteh, nang taran lahoi, hawihoehnae hah sak han a kâcai awh teh, a sak thai awh hoeh e hah sak han a kâcai awh.
12 Kwa kuwa wewe utawarudisha nyuma; wewe utafyatua upinde wako mbele yao.
Hatdawkvah, ahnimouh teh na yawng sak vaiteh, ahnimae a mithmainaw dawk na licung hoi coungkacoe na nue toe.
13 Uninuliwe, Yahwe, katika uweza wako; tutaimba na kusifu nguvu zako.
Oe BAWIPA, na thaonae dawk tawm lah na o. Na thaonae pholen hoi la ka sak han.

< Zaburi 21 >