< Zaburi 21 >
1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mfalme anashangilia katika uweza wako, Yahwe! Ni kwa namna kuu anashangilia katika wokovu uliouleta!
Aka mawt ham David kah tingtoenglung BOEIPA nang kah sarhi dongah manghai a kohoe tih, namah kah khangnah dongah bahoeng omngaih.
2 Wewe umempa yeye matamanio ya moyo wake na hauja mkatalia maombi midomo yake.
Anih ham a lungbuei kah a ngaihlihnah khaw na doo tih, a hmuilai kah a kueknah te na hloh pah pawh. (Selah)
3 Kwa kuwa wewe unamletea baraka nyingi; wewe uliweka katika kichwa chake taji ya dhahabu iliyo safi kabisa.
Anih te yoethennah then neh na doe tih a lu ah suicilh rhuisam na khueh pah.
4 Yeye alikuomba wewe maisha; ukampatia maisha; wewe ulimpatia maisha malefu milele na milele.
Namah taengkah hingnah ham bih vaengah anih ham kumhal ah khohnin na puh sak tih na paek yoeyah.
5 Yeye utukufu wake ni mkuu kwa sababu ya ushindi wako; wewe umemuwekea mapambo na enzi.
Nang kah khangnah lamloh a thangpomnah tanglue tih, mueithennah neh rhuepomnah te anih dongah na hal coeng.
6 Kwa kuwa unampatia yeye baraka za kudumu; unamfurahisha kwa furaha ya uwepo wako.
Anih te yoethennah na paek yoeyah dongah namah hmai kah kohoenah neh a ko na hoe sak.
7 Kwa kuwa Mfalme humwamini Yahwe; kwa kupitia uaminifu wa agano la aliye juu zaidi yeye hataondolewa.
Te dongah manghai loh BOEIPA dongah pangtung tih, Khohni kah sitlohnah rhang neh tuen voel mahpawh.
8 Mkono wako utawakamata adui zangu wote wote; mkono wako wa kuume utawakamata wale wote wanao kuchukia.
Na thunkha boeih te na kut loh a hmuh vetih, na lunguet rhoek khaw na bantang kut loh a tuuk bitni.
9 Wakati wa hasira yako, wewe utawachoma kama katika tanuru la moto. Yahwe atawamaliza wao katika hasira yake, na moto utawateketeza upesi wao.
Namah na phoe tue vaengah amih te hmaipom hmai bangla na khueh bitni. BOEIPA kah a thintoek loh amih te a dolh vetih hmai loh a hlawp ni.
10 Wewe utawaangamiza watoto wao duniani na ukoo wao kutoka katika mrorongo wa wanadamu.
Amih kah a thaihtae te diklai lamkah, amih kah tiingan khaw hlang capa rhoek khui lamkah na milh sak ni.
11 Kwa kuwa walikusudia kukufanyia mambo maovu wewe; wao walitunga njama ambayo kwayo hawawezi kufanikiwa!
Nang taengah tangkhuepnah a thae la moeh uh tih n'taeng uh dae a phu uh hae moenih.
12 Kwa kuwa wewe utawarudisha nyuma; wewe utafyatua upinde wako mbele yao.
Tedae na liva neh amih maelhmai te na nuen vaengah amih te a hnuk la na rhoe bitni.
13 Uninuliwe, Yahwe, katika uweza wako; tutaimba na kusifu nguvu zako.
BOEIPA te pomsang pai saeh. Na sarhi te ka hlai uh vetih na thayung thamal te ka tingtoeng uh ni.